msafara wa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe (mwenye suti nyeusi)umepata ajali ambapo gari la DPP limepata ajali na kupinduka baada ya tairi la mbele kulia kupasuka wakati Dereva alipokuwa akijitahidi kuwekwapa watoto wawili waliokuwa wakivuka barabara ghafla na bila kuwa na tahadhari yoyote,ajali hiyo imetokea katika kijiji cha Bwanga na msafara unaelekea Chato kutokea Geita. Thursday, July 14, 2016
msafara wa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe (mwenye suti nyeusi)umepata ajali ambapo gari la DPP limepata ajali na kupinduka baada ya tairi la mbele kulia kupasuka wakati Dereva alipokuwa akijitahidi kuwekwapa watoto wawili waliokuwa wakivuka barabara ghafla na bila kuwa na tahadhari yoyote,ajali hiyo imetokea katika kijiji cha Bwanga na msafara unaelekea Chato kutokea Geita.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment