Posted by Williammalecela.com on Monday, July 04, 2016
|
Le
Mutuz Nation Le Big Show majuzi aliwashitua watumiaji wengi wa Mitandao
ya Kijamii alipoibuka na Mrembo anayesadikiwa kuwa ni Mbebez wake mpya
kwa jina Jesca.
Picha hizo zilianza kusambaa taratibu
kwenye mitandao ya kijamii kutokea Instagram ambapo zilionyesha Le Mutuz
akiwa na Mbebezzz huyo katika Beach ya the Double Tree Hilton Hotel
iliyopo Masaki Dar. Masaa Manne baadaye ilibidi Le Mutuz aziondoe picha
hizo kwenye Instagram yake kutokana na rundo kuwa la Viewers waliokuwa
wakipitia picha hizo na kusababisha server kushindwa kufanya kazi. Mpaka
sasa haijajulikana kama Le Mutuz ana mpango wa kumuoa binti huyo mrembo
wa ajabu au kama kawaida yake ya siku zote ya kuwa nao na kuishia
kuibuka na wengine. |
0 comments:
Post a Comment