
Imevuja! Siku chache baada ya Mbongo Fleva, Emanuel Elibariki ‘Nay wa
Mitego’ kukamatwa na kuhojiwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es
Salaam kuhusu chanzo cha utajiri wake wenye utata, mwenzake katika fani,
Nasibu Abdul ‘Diamond’ naye amekumbana na kimbembe cha kuchunguzwa na
TRA, Amani lina kitu mkononi.
TRA ni Mamlaka ya Mapato Tanzania
ambayo inajishughulisha na ukusanyaji wa kodi kwa wafanyabiashara na
wananchi kwa jumla ili kuiletea nchi maendeleo kutokana na pesa hizo za
kodi.
0 comments:
Post a Comment