Wednesday, July 20, 2016


Naomba niseme kitu na nieleweke tafadhal, Sijawahi hata siku moja kwenda kwa hata mmoja wenu na kumgongea kuomba hata hela ya chumvi.... My life concerns me.... Na hata siku nikifa nakufa mwenyewe, Majibu kwa Mungu naenda kujibu alone.... Niacheni Jamani.... Nimechoka......! Jus leave me Alone...!!! Kama nakukera na maisha yangu basi usiyafatilie.

0 comments:

Post a Comment