Posted by Williammalecela.com on Wednesday, July 13, 2016
Mrembo
Wema Sepetu ambaye jina lake July 11 2016 liliingia kwenye headlines
baada ya kutoa viatu vyenye brand ya jina lake, ameingia tena kwenye
headlines baada ya kuamua kumuandikia ujumbe Idris Sultan ambaye ni
mpenzi wake kupitia ukurasa wake wa Instagram.
0 comments:
Post a Comment