Friday, July 22, 2016


Baraka da Prince na Naj (Mpenzi wake)
Wiki hii Baraka da Prince alipata scandal nzito, baada ya page moja yaInstagram inayotumia jina la Kaoge kumtaja msanii huyo kuwa anadaiwa mtonyo flani na katika kumkwepa mdaiwa wake ameamua kumblock Kaoge.Account hiyo ikazidi kudai kuwa itafichua msg zote walizowahi kuandikiana naBaraka da Prince.


Baada ya Kimbembe hicho Baraka da Prince ameamuakuchukua hatua hizi hapa Msikilize kwenye Audio hapo chini.

0 comments:

Post a Comment