Kidoa
MIAKA ya
nyuma kidogo, wasanii wengi wa muziki hususan Bongo Fleva walikuwa
wakiandaa video za nyimbo zao hapahapa Bongo lakini siku za hivi
karibuni kumekuwa na dhana kwamba ‘kichupa’ kikitengenezwa nje ya nchi
kinakuwa bomba zaidi.
Wengine
wanaenda mbali zaidi kwa kuamini kutengeneza video nje ya nchi kunawapa
‘connections’ kubwa kwani madairekta wanajuana na vituo vikubwa vya TV
Afrika na hiyo inakuwa rahisi kwao kutanuka katika soko la kimataifa.
0 comments:
Post a Comment