Posted by Williammalecela.com on Tuesday, August 23, 2016
Ajali mbaya yatokea maeneo ya Bomangombe ikihusisha Basi la ROYAL EXPRESS linalofanya safari zake Rombo Mwanza, inasemekana watu 3 wamefariki Dunia.. M/mungu azilaze Roho za marehemu Peponi.. Amin
0 comments:
Post a Comment