Tuesday, August 9, 2016

August 6 2016 ni siku aliyozaliwa mtoto wa staa wa bongoflevani Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz na mzazi mwenza Zari the Boss Lady kwa mtoto wao LatiffahNaseeb akijulikana kama Princess Tiffah.
Katika historia fupi ya mtoto Tiffah tangu azaliwe August 6 2015 mambo mengi yalijitokeza mpaka mtoto huyu kutimiza mwaka mmoja na leo August 8 2016 

inakusogezea mambo yakufahamu baada ya mtoto Tiffah kutimiza mwaka mmoja ambapo moja wapo kuwa ni uvumi kuwa Tiffah sio mtoto wa staa huyo.

0 comments:

Post a Comment