Posted by Williammalecela.com on Wednesday, August 17, 2016
Sherehe
za birthday nazo zina uzito wake, Unaambiwa Romy Jons ambaye ni Ndugu
yake na msanii Diamond Platnumz lakini pia ni Official Dj wake alifanya
Party yake August 16 2015 wakaalikwa mastaa wengi kutoka Bongo Movie na
Bongo Fleva.
0 comments:
Post a Comment