Posted by Williammalecela.com on Sunday, August 14, 2016
Watoto waliofanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa Mbeya wanaendelea vizuri.Wengi wamesharuhusiwa warudi majumbani na wachache wanaendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari na
wauguzi.@GSMFoundationTz wameendelea kudhamini Tiba hii mikoa yote Tanzania bure,next IRINGA
0 comments:
Post a Comment