LEMUTUZ

Monday, August 15, 2016

HATIMAYE BLOGU YA WANANCHI YATHIBITISHA KURUDIANA KWA WASANII MAARUFU NCHINI WAJUE HAWA HAPA LIVE!!

Posted by Williammalecela.com on Monday, August 15, 2016
Blogu ya Wananchi imethibitisha 100% kwamba hawa wapenzi wawili Diamond na Wema wamerudiana tena na kumuweka Zari solemba. blogu hii imegundua kwamba Wema Sepetu kwa muda wa wiki mbili sasa amekuwa akiishi na Star huyo Madale nyumbani kwake Diamond.
  1. What did you study at Lehman College?
    34 Pending Items
  2. Intro
    Edit BioDescribe Who You Are
    • Worked at Agapeo Company Inc.
    • Studied at Lehman College
    • Went to kwiro secondary school
    • Lives in Dar es Salaam, Tanzania
    • From Dar es Salaam, Tanzania
    'Babu na Mjukuu wake.'
    'Party can never get better than this󾆶󾆶󾆶.. Karibu sana isumba lounge (jollies club) kila ijumaa na jumamosi tupate oldies, old scul, soca rumba, chacha, charanga, mayenu, raga, dancehall music na nyingine kibao; chini ya usimamizi wa DJ JOHN DILLINGA aka THE LEGEND & DJ FAST EDDIE'
    'PARTY starts Wednesday the 24th Dec; X-MAS EVE ndani ya isumba lounge (jollies club). PARTY continues on Thursday the 25th Dec; X-MAS DAY. 
Friday boxing day, Saturday, Wednesday the 31st Dec 2014  NEW YEAR'S EVE and Thursday the 1st January 2015: NEW YEAR'S DAY; ladies and gentlemen it's party time with DJ JOHN DILLINGA & DJ FAST EDDIE. Karibu sana'
    'Tunaenda kuwapiga ugenini na kurudi katika nafasi yetu ya kwanza. Wamatopeni mpo?'
    Add Featured Photos
  1. Feature up to 5 photos you love
  2. Photos
    'Wanasema  kuishi kwingi nikuona  mengi kweli namshukuru MUNGU ashenare jina lenyewe ni @[100011079676491:2048:Annamiee Wa James] oooooh baby umeniroga roga juju... Amani ya moyo wangu sipendi ikatoeshwa na ndoto  acha nimkabithi MUNGU #ashenare'
    Biashara Kwanza's photo.
    'Share as you can by this hushtag #mountkilamanjaro_is_in_tanzania #uzalendokwanza'
    '*Mchongo uko hivi*
Waambie wana group wenzako JUMAMOSI KUNA *WhatsappGroupParty*
Inafanyika maeneo ya
*JOZI LOUNGE*.. msasani mwisho
*06/08/2016* @king_chiwah
Cha kufanya ni admin awasiliane na mwenye namba 0714670563 ili akupe mchongo mzima utakavyokua...
*USISAHAU PERFOMANCE KIBAO NA SURPRISE ZA KUTOSHA*'
    'Small world
#with le mutuz nation
#king of social network
#misstangaafterparty
#tangacitylounge'
    'Heri yakonya kuzaliwa jembe ketu enzi hizo vikombe hadi vya Taifa stars vilikuwa havikauki'
    'Tunaenda kuwapiga ugenini na kurudi katika nafasi yetu ya kwanza. Wamatopeni mpo?'
    'CROWD RISING 

Huu ni mfumo wa kusaidiana kuinuana wananchi kiuchumi kutoka ktk umasikini uliokithiri. 

Mfumo huu unatumika dunia nzima na ulianza rasmi June 2016 huko Canada. 

Nia hasa ni kuwa na utaratibu wa kuwezeshana sisi wa hali ya chini ili kila mmoja anufaike na kupunguza huu umasikini uliyopo. 

Mfumo huu ni salama na hakuna mtu anayeshika fedha zako. Kila mmoja anatakiwa kutunza fedha zake.

Ili kuwa mwanachama ktk mfumo huu, unatakiwa kumsaidia anayekuunganisha kwa kumpata 20,000/- tu. Kisha anakupa link ambayo utajaza taarifa zako humo.

Baada ya hapo utatakiwa kujaza taarifa za akaunti ambayo ungependa fedha zako ziingie humo. Hapa huwa wanashauri kwa sisi Watanzania kujaza kama ni tigopesa au mpesa au airtelmoney ili iwe rahisi kutumiwa fedha. 

Baada ya kujiunga na kujaza taarifa zako muhimu, anayekuunganisha atapata ujumbe ktk mfumo huo unaotumia mtandao ukimtaka kukuingizi ktk mfumo na kuanza daraja la 1.

Mfumo huu una madaraja 15. Kila daraja lina faida yake na kadiri unavyopanda daraja ndipo faida unaziona zaidi.

FAIDA

Ili kuingia daraja la 1, unatakiwa kumtumia anayekuunganisha 20,000/- kisha na wewe unakuwa na uwezo wa kuanza kuunganisha watu. Mfumo unamtaka kila aliye ktk daraja 1 awaingize watu 5 tu. 

Hao watu 5 kila mmoja utamuingiza ktk mfumo na atakulipa moja kwa moja ktk aidha tigopesa au mpesa au airtelmoney yako uliyojaza ktk mfumo (system) hii. Hapo utapokea 20,000 x 5 = 100,000/- tasilimu. Hapa utakuwa umepata faida ya 80,000/- kamili. 

Ili kuingia daraja la 2 utatoa 40,000/- toka ktk faida yako na kumchangia mtu wa juu ili akupandishe daraja. Hapa haumpi yule aliyekuingiza bali unampa yule aliyemuingiza aliyekuunganisha wewe. Yaani kama aliyekuunganisha ni mama basi unampa bibi (aliyemuingiza mama). 

Ktk daraja la 2 unatakiwa kuwasaidia uliowaunga (watoto wako 5) ambao wamekichangia wewe 20,000/- awali ili watimize watu 5 kila mmoja. Jumla ni watu 25. Hawa wajukuu zako watakuwa daraja la 1 na wakitaka kupanda daraja watakulipa wewe babu/bibi 40,000/- kila mmoja kama wewe ulivyomlipa bibi yako hapo awali. 

Hivyo wajukuu 25 x 40,000 = 1,000,000/- tasilimu utapata. 

Baada ya wajukuu zako kutimia 25, mfumo utakutaka upande daraja 3. Kuingia daraja la 3 utamchangia aliyemuingiza babu/bibi yako ktk mfumo na hapa utampa 100,000/- tu. Na utatoa ktk 1,000,000/- uliyoipata toka kwa wajukuu zako. 

Ktk daraja la 3 utatakiwa kushirikiana na watoto wako, wajukuu zako ili kila mjukuu apate watoto 5. Wajukuu wapo 25 na kila mmoja akiwa na watoto 5 inamaana utakuwa na vitukuu 125. Hawa vitukuu ili waje kupanda daraja la 2 hapo baadae watakulipa wewe 100,000/- kila mmoja ili uwapandishw daraja kama wewe ulivyomlipa aliyemuingiza babu/bibi yako. Jumla utapokea 125 x 100,000 = 12,500,000/- tasilimu. 

Baada ya hapo utapanda daraja la 4 na kuendelea. Hadi kufika daraja la 15. 

Nadhani umepata picha hapo, ni faida lukuki. Mfumo ndio kwanza mpya na watu dunia nzima wanajiunga kwa kasi hivyo wahi kuwa wa kwanza kwanza ili kunufaika mapema. 

Kwa sasa mfumo haujafikisha watu 100,000 duniani kwani ndio kwanza una muda kadhaa.

Kumbuka hakuna anayemshikia mtu fedha na system inatumika kukupandisha daraja tu. Hauichangii chochote. Mtaji ni 20,000/- tu hakuna ziada kutoka mfukoni kwako. Fedha zote utapokea moja kwa moja kwa njia utakayomwambia unayemuunganisha aitumie.

Kufahamu zaidi wasiliana na aliyekupa taarifa hizi.

KARIBU TUPUNGUZE UMASIKINI TANZANIA. 0659 517 278'
    'Hamida wedding 
󾮞󾮞󾮞󾮞󾮞󾮞
󾬏󾬏󾬏󾬏󾬏󾬏'
  3. Friends · 4,969
    Rose Julius
    10 new posts
    Cosma Hansen
    10 new posts
    Babi D'e Conscious
    10 new posts
    Allen Kicharungu
    10 new posts
    Lilian Kamukala
    5 new posts
    Mwami Radjabu Empereur
    5 new posts
    Salma Ally
    4 new posts
    Lucas Rutainurwa
    2 new posts
    Azavery Phares
  4. English (US) · Kiswahili · हिन्दी · ગુજરાતી · Español
    Privacy · Terms · Advertising · Ad Choices · Cookies ·
    More
    Facebook © 2016
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TOTAL PAGEVIEWS

Popular Posts

  • LIVE: RAIS MAGUFULI ANAKABIDHIWA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI
  • BREAKING NEWZ: BASI LA NGANGA LATUMBUKIA MTARONI KULIKWEPA LORI
  • THE UDAKUZ: WEMA SEPETU Vs WOLPER!!
  • IRAN NA MAREKANI WAZIDI KUIMARISHA UHUSIANO
  • PICHA YA KWANZA YA KANISA LA ASKOFU MTATA GWAJIMA BAADA YA KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA YA SERIKALI JANA LIVE.
Copyright © LEMUTUZ

Developed by MKCT