Asema ni utekelezaji wa ilani YA Ccm
- wananchi wahamasishwe kujiunga na bima YA Afya
MKUU wa mkoa Mbeya Amos Makalla amewataka waganga wakuu kushirikiana na wakuu wa wilaya na wakurugenzi kuharakisha utoaji wa ramani na vibali vijijini na kata ili kurahisisha ujenzi wa zahanati kila kijiji na vituo vya Afya kila kata ili kutimiza malengo yaliopo katika ilani ya Ccm
Hayo ameyasema leo wakati akifungua kikao cha waganga
wakuu, watendaji wa Afya, wakurugenzi na wakuu wa wilaya jijini Mbeya na kuwataka kuweka mpango kazi wa ujenzi wa zahanati, vituo vya Afya, mapambano dhidi YA ukimwi na uhamasishaji wananchi kujiunga na bima YA afya
wakuu, watendaji wa Afya, wakurugenzi na wakuu wa wilaya jijini Mbeya na kuwataka kuweka mpango kazi wa ujenzi wa zahanati, vituo vya Afya, mapambano dhidi YA ukimwi na uhamasishaji wananchi kujiunga na bima YA afya
Kuhusu ujenzi wa zahanati na vituo vya Afya amewataka watendaji wa Afya vijijini na kata kuhamashisha viongozi
ngazi husika kuibua miradi YA ujenzi ili baadaye serikali iweze kuchangia na amewataka watendaji ngazi ya wilaya kuunga Mkono miradi ngazi ya Vijiji na kata kwa kutoa vibali na ramani 
ngazi husika kuibua miradi YA ujenzi ili baadaye serikali iweze kuchangia na amewataka watendaji ngazi ya wilaya kuunga Mkono miradi ngazi ya Vijiji na kata kwa kutoa vibali na ramani 
Aidha amewataka viongozi kila ngazi kuhamasisha wananchi kujiunga na bima ya Afya ili wawe na uhakika na huduma YA Afya

0 comments:
Post a Comment