Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini, Mh. Richard Kasesela akizungumza na waandishi wa habari katika Hospitali ya Rufaa Mkoa Iringa baada ya kuwatembelea watoto waliofanyiwa upasuaji wa kichwa kikubwa na mgongo wazi.
Hii ni siku ya mwisho wa timu ya madaktari bingwa kutoka MOI - Muhimbili na @GSMFoundationTz mkoani Iringa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment