Monday, August 1, 2016

Mwili ukiwasili katika Kijiji cha Shushi Wilaya ya Kwimba Mwanza kwa ajili ya taratibu za maziko.
Mama wa marehemu akilia kwa uchungu huku akifarijiwa na ndugu.
 
Mama wa marehemu akisaidiwa kugusa mwili wa mwanae kwa mara ya mwisho kabla ya maziko.
Mke wa marehemu akigusa mwili wa mumewe kwa mara ya mwisho kabla ya maziko.
Waandishi wa habari wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu Joseph Senga.
Mke wa marehemu Winfrida Senga akiweka shada la maua katika kaburi la mumewe, marehemu Joseph Senga.
Mtoto wa marehemu, Joel Senga akiweka shada la maua.

0 comments:

Post a Comment