Saturday, September 10, 2016

Kumetokea tetemeko la Ardhi na limepiga maeneo ya mkoa wa Kagera na inadaiwa mikoa jirani nayo imepata mtikisiko.

UPDATES:
- Linadaiwa kurudia tena likiwa na mtikisiko mkubwa zaidi
- Nyumba kadhaa zimebomolewa
- Taarifa za vifo zimesikika

0 comments:

Post a Comment