Posted by Williammalecela.com on Sunday, September 18, 2016
3 comments
Mtoto wa kike wa mtangazaji Gardner G Habash anayeitwa Karin ni moto wa kuotea mbali kwa urembo na mwonekano alionao.Ni mwanafunzi wa chuo kikuu jijini Mbeya.
ni mapema mno kumdalalia huyu binti katika mitandao, anahitaji kusoma zaidi kwani bado mchanga mno. iaapo mmeamua kumnadi mapema basi baada ya miaka miwili tukutane humuhumu katika mitandao ulinganishe hali ya wakati huo na sasa hivi na upime kiwanho cha maadili pia.
Acheni kumuuza huyo mtoto.Nashangaa hata hao wazazi wanaokubali mtoto wao kuanikwa kwenye vyombo vya habari.Ustawi wa jamii ingilieni kati haya mambo kabla mtoto hajaharibika.
kweli kabisa kwanini waanze kumnadi mtoto hivyo alafu mbona yupo kawaida tu sioni cha ajabu hapo. Mbona sisi tuna mabinti warembo kweli kweli but tunawaombea mungu awalinde na wamalize masomo zao mema chuo ki kuu na awajalie wapate kazi na maisha ilio kuwa bora yakumpendezesha mungu.
ni mapema mno kumdalalia huyu binti katika mitandao, anahitaji kusoma zaidi kwani bado mchanga mno. iaapo mmeamua kumnadi mapema basi baada ya miaka miwili tukutane humuhumu katika mitandao ulinganishe hali ya wakati huo na sasa hivi na upime kiwanho cha maadili pia.
ReplyDeleteAcheni kumuuza huyo mtoto.Nashangaa hata hao wazazi wanaokubali mtoto wao kuanikwa kwenye vyombo vya habari.Ustawi wa jamii ingilieni kati haya mambo kabla mtoto hajaharibika.
ReplyDeletekweli kabisa kwanini waanze kumnadi mtoto hivyo alafu mbona yupo kawaida tu sioni cha ajabu hapo. Mbona sisi tuna mabinti warembo kweli kweli but tunawaombea mungu awalinde na wamalize masomo zao mema chuo ki kuu na awajalie wapate kazi na maisha ilio kuwa bora yakumpendezesha mungu.
ReplyDelete