ANAYEDAIWA
kuwa mke wa marehemu Bilionea Erasto Msuya, mshtakiwa Miriam Msuya na
mwenzake, wamedai mahakamani kwamba waliteswa na polisi na kulazimishwa
kukiri kuhusika na mauaji ya Aneth Msuya, dada wa bilionea huyo. mke wa marehemu Bilionea Erasto Msuya.
Madai hayo yalitolewa jana mbele Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Margareth Benkika, walipounganishwa na kusomewa hati mpya ya mashtaka ya mauaji ya Aneth.
Wakili wa utetezi, Peter Kibatala, alidai kuwa baada ya kuzungumza na washtakiwa wote wawili, wamemweleza kwamba waliteswa sana baada ya kukamatwa na kulazimishwa kukiri tuhuma hizo.
Kwa habari zaidi nunua nakala ya NIPASHE LEO
0 comments:
Post a Comment