HAPPY BIRTHDAY SALOME WA DIMONDO
Haya sasa mtu unayemtukana ktk social media hana hata mbuni ya
kujitakatisha na mwenzio anapumilia katika mjengo wa maana haya ndio
maisha,zawadi ya baby kutoka kwa dady Tee.... uwiiii unaweza ukawa na
mwanaume mwenye pesa na asifanye haya kwa u selfish wake but Dimondo ni
kijana mdogo na anajua kufanya kweli wajameni... HAPPY BIRTHDAY SALOME
ORIGINAL.
Limewashuka shuuuu
Limewashuka shuuuu
13 comments:

AnonymousSeptember 22, 2016 at 10:43 PMHaaaaaaReply
Hana raha na mkwe Nani kama Mkwe??
Hana raha na mawifi zaid ya kimwana na Darleen wifi wa kambo.
Hereni akute,wanawake waingizwe kitanda alicholazia mwanae
Nani kamwish birthday katika ndugu Pande za Kati zaid Watanzania mnaomshobokeaaaaaaa.
Nyumba angerithi kwa Ivani wewe alomtoa bikiraaa .
SASA SINTA URITH UTULETEE KWENYE SOCIAL SI NDO USHAMBA
SIKU AKIRITHISWA ATAWEKA HATI YA NYUMBA SNAPCHAT AU INSTAGRAM MAANA MNAKAISHAMBA FULANI
AnonymousSeptember 22, 2016 at 11:08 PMhalafu mjengo huu ni brand new hauna nyufa kama ule wa L.A jamani tuacheni utani hivi kama ni zari ndo angekuwa anaishi kwenye ile nyumba yenye ufa kama imepitiwa na tetemeko la mwendo kasi si angeandamwa hadi azae njiti? jikoni tuu panaonyesha ni nyumba ya nineteen forty kweusi … mbayaa chafuuu nyumba haina nuru ila uko busy kuumbua wenzio walokuzidi wakati una dhikiiii… unajitututmua insta tuu in real life huna kitu, huna raha huna life upo upo tuu, siku stress zikiwa juu unatafuta zari ufe naye, ila jamani zari kisiki duuh! hivi jamani unaanzaje kumchamba mtu ambaye hujawahi kumuona hata mara moja? unaamka tuu na mgazeti wa mzalendo mreeefu kumchambua mtu ambaye hujawahi hata kupishana naye barabarani loh, aibu gani hii? BIG UP MWAMMY KWA KUMWAGA TAKATAKA HIZI MANAKE STRESS ZA KUMBEBA NA KUMFANYA WA UKWELI ZINATAKA KUMTOA ROHO ANAKOSAJE UHONDOO? mihasira anasukumiwa zari kasahau na yeye ana maskendo yake ila zari tuu ndo mchafu…Reply
JAMANI MWAMMY KAMA UNAPITAGA HUMU KWA NINI USIWE UNAKOMENT KULE KWA ZARI TENA MNGEKUTANA HUKOHUKO SOUTH MLE BATA MNGEUA MTU WALLAH, MWAMMY FANYIA HII KITU KAZI, USHOGA NA ZARI INGENOGAJEE? YAANI INGECHOMA KAMA PASI YA MAKAA YA MAWE! UTAHATRA MENDE MWAKA HUU ZARI YULEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE…… NYUMBA HAINA NYUFA WATOTOT WANA AFYA TELEEEEEE……. HE HE HEEE ZARI NI MAMAM BORA MSAFIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII…….
AnonymousSeptember 22, 2016 at 11:26 PMUtakuja kuumbuka wewe haya yetu macho...hongera zao kwa kupanga nyumba nzuri...hbd mama tReply
AnonymousSeptember 22, 2016 at 11:26 PMJamani eeh hii inahusu walee wamama /wadada wanaoishi majuu america /canada. yes huwa tunaleaga wenetu kibongobongo makwenzi kwa kwenda mbele, chapa, sasa juzi kati shost katandika mtoto na kimwiko akapata bruise.. kiroho safi tuu tukamwambia huyo kesho asiende shule manake walimu wakiona utaletewa hadi polisi, shost kajifanya mbabe, . mtoto kaenda shule walimu wakaona wakumuuliza akasema mama kanichapa na woodspoon aka mwiko … kiiiiruuuuu..Reply
simu ikapigwa kwa social worker wakaja wakutosha na polisi juu. ile mama anaenda kumchukua mwanaye shuleni tuu alikomajee? alinyang'anywa hadi na mwanaye mdogo aliyekuwa naye, ni mwezi sasa watoto wapo foster care dizain ndo hawapati tenaaaaaa…
mie nikichapa mtoto kama kina alama hata kiduchuje kesho yake haendi shuleni ng'oo manake hata wenzie wakiona wanaenda kuwaambia wazazi wao, na hao wazazi wambeaje wanakuja kusema shuleni lazima ile kwako tuuu.. shost analiajee watoto 3 woote wamechukuliwa mwezi sasa wanamwita abuser ati ni hatari kukaa na watoto .. heeee!
wakija bongo si watafunga wamama wote na wadada wakazi ndo usiseme!
AnonymousSeptember 22, 2016 at 11:34 PMsasa Zari ndo amegonga 36, kwa raha zake anaonekana mrembooo watu mmelishwa sumu mnamuita kikongwe bibi bomba, lhali na nyie iko siku mtafikia huu umri endapo ukimwi hautawabeba mtafikia tuu huu umri,Reply
mbona hamuwaitagi mamam zenu bibi bomba? kuna mamam wa mtu humu ndani ana umri wa zari?
sasa waiteni haoo walowazaa bibi bomba, zari na kigalula umri sawa tena kigalula kamzidi miezi 6 ila anajibebisha na dayati uchwara kwa zari huingii hata robo! tukianza na usafi wa chumbani na palee bin jikoni duuh…
zari mlainiiiii sio wewe umekomaa kama njugu mawe mfyuuuuu….
AnonymousSeptember 23, 2016 at 12:49 AMhamna liliyemshuka nyampua wewe diamond kafanya hvo coz kashajua huyo bi kizee mtaji wake watoto ndomana kaamua amnunulie tu nyumba huko hata huku mambo yakivurugika watoto wake wasiishi kwa kutangatanga maana anajua huyobkizee lazima atangangania watoto aende nao southReply
AnonymousSeptember 23, 2016 at 12:51 AMhuu mchezo hauhitaj hasira diamond anajua fika hawez muoa mama tee ndomana anatengeneza maisha ya wanawe wakienda south wasisumbuke kama wa ivanReply
AnonymousSeptember 23, 2016 at 2:11 AMLimekushuka wewe usojua kusifia yako ukangangani ya mwenzako. unajuaje kama Hamisa hajapewa kitu. mbona ya kawaida au mwenzetu umezalishwa bila hata chumba cha kupanga! watoto wenyewe unawaficha kwa aibu Nyampua.Reply
AnonymousSeptember 23, 2016 at 2:14 AMPovu vepeeeeeeeeeeee! kwani umetiwa wewe Sinta auxx. nyumba ni kitu cha kawaida na Dai anawatoto. sasa ulitaka alale kwa Ivan mpaka lini. kafue maji ya Tifa hukoo.Reply
AnonymousSeptember 23, 2016 at 3:25 AMWabongo mnakogwagwa kaitoa ktk dite ya House for rent uwiiiiReply
SA nyumba zinauzwa kwa Rand milion 5 na ushee au £.
Amgalia rand ni kiasi gani?
WANAWAKE tunadanganywaga mpk rahaaa .birthday Zenj. Basimguuu unafunua mpk mwisöa hereni ulizopata unasahauui
Gunilla zarina ulee WATOTO
AnonymousSeptember 23, 2016 at 4:28 AMLimekushuka wewe sinta ambae huthubutu kuweka pic ya hata chumba chao hicho ulichopanga. Na ingekuwa ni ya Wema hiyo ungesema kakodisha....afu we nyampua leo unaachia comment saa ngapi? maana news kama hizi watu zinawatoa mapovu hatariiiii acha kulala wewe.Reply



ILA NAWE SINTAH MSHAMBA .
SASA ANAPUMULIA KTK MJENGO SIAPUMUE KWA FURAHA YA ROHO PIA .KILICHOMFANYA AUMIE NA WALOACHA HERENI. NININI?MSIKILIZE AUNT Maz...MWENYE MADUKA YA KUSHONA NA SALOON.ANAKWAMBIA MAISHA UKIWA NA AFYA NA FURAHA
ZARI ALIKALIA MOJENGO KWA IVAN HII YA MOND NI KAMA VIWANJA TUU ILA FURAHA YA ROHO ATAIPATA KWENYE KITANDANI TU AKIMALIZA ATARUDI KUITAFAKARI DUNIA.
NI MWAKA TU KESHA SIKIA MENGI KAKUMBANA NA MENGI.KAKUTA HERENI.KAONA PICHA CHUMBA KIMOJA KINAFANABA NA ANAOSIKIA WAMELALA NA MWANAUME.
DIAMOND NI MDOGO NA BADO UJANA UNAMCHANGANYA
HANA RAHA NA WIFI
MKWE
MAHAWARA ANAOWAHISI
RAHA ALONAYO NI RANGI YAKE NA KUPIGA PICHAAA
UTITH ANGERITH KWA IVANI WEWE NDO KUNA MIRATHI .HAPO KUNA VYAKUGAWANA SIO MIRATHI