Posted by Williammalecela.com on Friday, September 02, 2016
Akina
dada wenye ‘taito’ kubwa Bongo, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krish’ na
Agnes Gerald ‘Masogange’, wanadaiwa kuzua kizaazaa cha aina
yake baada
ya hivi karibuni kutinga kwenye Kanisa la Christ Embassy lililopo
Mbezi-Makonde jijini Dar kwa nia ya kumrudia Mungu wao.
0 comments:
Post a Comment