Monday, October 31, 2016
MWIGULU NCHEMBA ASHANGAZWA NA WANANCHI WANAOJIFUNGIA NDANI KUOGOPA PANYA ROAD
Posted by Williammalecela.com on Monday, October 31, 2016
Waziri wa mambo ya ndani, Mwigulu Nchemba ameshangazwa na wananchi kukimbia na kujifungia ndani wakiogopa vikundi vya kihalifu kama Panya Road.
Amesema vikundi hivyo vinaundwa na watoto wadogo wanaotumia silaha za jadi ambazo wananchi wote wanazo.
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Newer Post
Older Post
Home
0 comments:
Post a Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TOTAL PAGEVIEWS
Popular Posts
LIVE: RAIS MAGUFULI ANAKABIDHIWA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI
BREAKING NEWZ: BASI LA NGANGA LATUMBUKIA MTARONI KULIKWEPA LORI
THE UDAKUZ: WEMA SEPETU Vs WOLPER!!
IRAN NA MAREKANI WAZIDI KUIMARISHA UHUSIANO
PICHA YA KWANZA YA KANISA LA ASKOFU MTATA GWAJIMA BAADA YA KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA YA SERIKALI JANA LIVE.
0 comments:
Post a Comment