Posted by Williammalecela.com on Thursday, November 17, 2016
mmiliki wa kampuni ya hanspaul group of companies Arusha ndugu Hans Paul akiwa anasoma maelezo mafupi ya mradi walioujenga kwa ajili ya wananchi wa kata ya Engutoto pamoja na kata ya Moshono
ndugu Hans Paul katikati akimuonyesha mkuu wa mkoa daraja la zamani ambalo wananchi hao walikuwa wanalitumia
0 comments:
Post a Comment