Posted by Williammalecela.com on Wednesday, November 09, 2016
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem Ofisini kwake bungeni mjini Dodoma Novemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea hundi ya dola za Marekani 33,000 kutoka kwa balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem ukiwa ni msaada kwa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Makabidhiano hayo yalifanyka ofisini kwa Waziri Mkuum bungeni mjini Dodoma Novemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem Ofisini kwake bungeni mjini Dodoma Novemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea hundi ya dola za Marekani 33,000 kutoka kwa balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem ukiwa ni msaada kwa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Makabidhiano hayo yalifanyka ofisini kwa Waziri Mkuum bungeni mjini Dodoma Novemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea hundi ya dola za Marekani 33,000 kutoka kwa balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem ukiwa ni msaada kwa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Makabidhiano hayo yalifanyka ofisini kwa Waziri Mkuum bungeni mjini Dodoma Novemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem Ofisini kwake bungeni mjini Dodoma Novemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment