Posted by Williammalecela.com on Thursday, November 17, 2016
 |
| Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu akiwa kwenye Meli ya abiria inayoelekea Kisiwa cha Ukerewe ambayo ni safari ya masaa Matatu kutokea Mwanza, Makamu ameenda huko kwa ziara ya kikazi na atakuwa huko siku nzima ya leo tarehe 17/11/2016 |
0 comments:
Post a Comment