Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akikata utepe kuzindua vyumba vya madarasa katika shule ya Sekondari ya Urafiki wilayani Ubungo mkoani humo, leo akiwa katika ziara kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama, kusikiliza kero za wananchi na kujadili nao namna ya kuzitatua. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Humphrey Polepole.
Makonda akimtania mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Urafiki Rajabu Fadhili, baada ya kuzindua vyumba vya madarasa kwenye shule hiyo leo
Makonda akimtania mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Urafiki Rajabu Fadhili, baada ya kuzindua vyumba vya madarasa kwenye shule hiyo leo
Makonda akimtania mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Urafiki Rajabu Fadhili, baada ya kuzindua vyumba vya madarasa kwenye shule hiyo leo
Makonda akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubingo Humphrey Polepole, baada ya kuzindua vyumba vya madarasa kwenye shule hiyo leo
Wananfunzi wakisubiri kumsikiliza Makonda baada ya kuzindua vyumba vya madarasa ya shule hiyo leo



0 comments:
Post a Comment