Mkuu wa Mkoa wa Mbeya amewashukuru viongozi wa dini kwa ushirikiano mkubwa WANAOUTOA kwa serikali
Hayo ameyasema Leo alipokutana na kufanya kikao na viongozi wa dini Mkoa wa Mbeya 

Amewashukuru kwa michango waliochanga na waumini wao kusaidia maafa YA tetemeko kagera, amewashukuru kwa kuhubiri amani , umoja na mshikamano

Amewahadi viongozi wa dini kuwa serikali itawapa ushirikiano wa kutosha na ataendelea kuomba ushauri kwa viongozi hao katika kutekeleza majukumu yake



0 comments:
Post a Comment