| MEYA WA ILALA CHARLES KUYEKO AKITOA MAELEKEZO KWA RC MAKONDA |
MKUU mkoa kijana mwenye utashi wa uwajibikaji Paul Makonda awataka watumishi katikaidara mbalimbali wa Manspaa zote za mkoa wa Dar es Salaam.
Makonda amesikitishwa na kitendo cha wakuu wa idara mbalimbali kushinda kukamilisha miradi kwa kisingizo cha kutopata fedha za bajeti ya serikali kuu ikiwa wangeweza kubuni miradi itakayowaingizia pesa.
Makonda amesema kuwa hatakubaliana na watendaji w namna hiyo kani hurudisha maeneleo nyuma.
0 comments:
Post a Comment