Mamia ya wananchi mkoani Tabora wamejitokeza kumuaga kipenzi chao Spika wa Bunge Mstaafu, Samuel Sitta aliyefariki usiku wa kuamkia Jumatatu ya wiki hii.
Wananchi hao walijipanga katika mstari mrefu kwa ajili ya kupita pembeni mwa jeneza lenye mwili wa Sitta, ambapo toka asubuhi maduka mengi wilayani Urambo yalikuwa yamefungwa.
PICHA NA EDWIN MJWAHUZI - MCL


0 comments:
Post a Comment