MKUU mkoa wa Dar es Salaam amewataja watu ambao huenda kwa namna moja au nyengine watamchua na yeye.
maadui hao ni mashoga, wala rushwa, watendaji wazembe , wauza shisha na watu ambao wanaenda kinyeme na haki.
hata makonda ameweka wazi kuwa hawezi kuwavumilia wafanyaazi mizigo na kwaba kuna utaratibu utakowaondoa watumishi mizigo
0 comments:
Post a Comment