Thursday, December 8, 2016

Mbunge wa Chadema Lema baada ya kurudishwa tena Rumande na mahakama mpaka kesi yake itakapotajwa tena Tarehe 14/12/2016.

IMG-20161208-WA0005.jpg IMG-20161208-WA0003.jpg


Uamuzi kuhusu dhamana ya Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Jonathan Lema utatolewa tarehe 14.12.2016.
#Arusha_Update : Mh Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amerudishwa Rumande hadi Tarehe 14 Desember 2016 ambapo mahakama itatoa maamuzi ya Rufaa iliyosomwa leo mbele ya Jaji Dr Opio.

0 comments:

Post a Comment