December
hii tulikuwa tunasubiri kumuona Mtoto wa Pili wa Diamond Platnumz na
Zari The Boss Lady ambaye alitarajiwa kuwa Mtoto wa Kiume a.k.a Prince
ili aungane na Tiffah a.k.a Princess na Familia izidi kuwa
Kubwa.Hatimaye Imeonyesha wazi kwamba Zari amejifungua tayari baada ya
jana Kupelekwa Hospitali iitwayo kwa ajili ya Kujifungua.Diamond ameshut
baadhi ya matukio mpaka kuthibitisha kwamba Tayari amefanikiwa kumpata
mtoto wa pili salama.
mtoto wa pili salama.

0 comments:
Post a Comment