Sunday, December 18, 2016

13736830_1323453414346687_89128804_n
Wasanii wa Uganda wanafahamika kwa utajiri mkubwa walionao ambao mara nyingi hupatikana kwa show za ndani zisizokauka.
Eddy Kenzo si msanii wa siku nyingi nchini humo lakini amefanikiwa si tu kuwa na mafanikio makubwa kuzidi wakongwe ikiwemo kushinda tuzo ya BET, bali pia kujikusanyia utajiri mkubwa.
Kupitia Instagram, staa huyo ameuonesha mjengo wake wa kifahari wa Kampala na kuwaacha mashabiki wakiwa mdomo wazi.
14033060_686096401538612_1815838956_n

13628414_1189662124418365_2056469807_n
14031733_1069569329763089_1904516409_n

0 comments:

Post a Comment