
Jaji Mkuu wa Tanzania Othman Chande ameupongeza utaratibu wa Mkuu wa Mkoa Amos Makalla wa KUTENGA siku mbili katika mwezi kusikiliza Kero za wananchi na kushirikisha watendaji wa mahakama kuu, ofisi YA
mwanasheria wa serikali, jeshi la polisi na taasisi zingine za serikaliAmesema utaratibu huu unasaidia mahakama na taasisi zingine kujitathmini na kutoa huduma kwa kiwango cha juu


mwanasheria wa serikali, jeshi la polisi na taasisi zingine za serikaliAmesema utaratibu huu unasaidia mahakama na taasisi zingine kujitathmini na kutoa huduma kwa kiwango cha juu


0 comments:
Post a Comment