Friday, December 16, 2016




Kosa la kwanza: Kuzuia na kuharibu data ambazo Jeshi la Polisi wamekuwa wakitaka kwa ajili ya uchunguzi chini ya kifungu cha 22 cha Cyber Act..


Kosa la Pili: Kushindwa kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi na kuharibu uchunguzi chini ya kifungu 22 cha Cyber Crime

Kosa la Tatu: Kumiliki website ambayo haina domain ya Tanzania (.co.tz) kinyume cha kifungu cha 7 cha sheria ya EPOCA



Chat Conversation End

0 comments:

Post a Comment