Friday, December 2, 2016

Mbunge Ridhiwani akizungumza na wananchi walijitokeza kituoni hapo hawapo pichani katika siku ya Ukimwi Duniani

Katika zoezi hilo watu walijitokeza i kupima wakiongozwa na Mbunge wao, watu watatu waligundulika kuwa na maambukizi  virusi vya HIV kati ya watu 81 waliojitokeza kupima..

0 comments:

Post a Comment