Kweli
bongo movie mmedharaulika sana, mkoje nyie lakini? Mbona miaka fulani
waimbaji walikuwa wanakimbilia kwenu leo wanawacheka?Hata Marekani Jay Z hawezi kumdharau Denzel au Tom Cruise hata kama kamzidi hela. Filamu ni tasnia inayoheshimika sana kasoro hapa kwa nyie wa Bongo Movie.Jisomee Hapa Alichosema Mwanamuziki ROMA:
0 comments:
Post a Comment