
RAIS John Magufuli kwa mara ya kwanza akikagua gwaride wakati wa kusherehekea miaka 55 ya nchi yetu kujikomboa kutoka mikononi mwa wakoloni
Amiri Jeshi Mkuu Rais John Magufuli akiwa amesimama wakati wimbo wa taiafa ulipokuwa ukiimbwa katika sherehe za kuazimisha miaka 55 ya uhuru kwenye viwanja vya uhuru jijini Dar es Salaam


vikosi vya mbalimbali vya majeshi vikonyosha mbinu za kuwakabili maadui na wahalifu
0 comments:
Post a Comment