Posted by Williammalecela.com on Tuesday, December 20, 2016
Kwa wale wanaosafiri sana au kusafirisha mizigo kati ya Tanzania bara na Visiwani hii itawafaa sana kwani Azam ambao wamekua wasafirishaji wa abiria na mizigo sasa wanayo hii yenye uwezo wa kubeba abiria na magari.
0 comments:
Post a Comment