Saturday, December 17, 2016

Kaimu Mkurugenzi wa  Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Tanzania, Domician Mkama (katikati) akionyesha moja ya simu za Tecno Phantom 6 na Tecno Phantom 6+, kwenye hafla ya  uzinduzi wa simu hizo uliofanywa kwa Ushirikiano wa Tecno Mobile Tanzania jijini Dar es Salaam leo Desemba 16, 2016. Kushoto ni Afisa Mauzo Mwandamizi wa Tecno Mobile  Tanzania, William Motta na kulia ni Mkuu wa Bidhaa wa Vodacom Tanzania, Samson Mwongela. 
  Kaimu Mkurugenzi wa  Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Tanzania, Domician Mkama (katikati) akizungumza na waandishi wa habari  huku akionyesha moja ya simu za Tecno Phantom 6 na Tecno Phantom 6+, kwenye hafla ya  uzinduzi wa simu hizo uliofanywa kwa Ushirikiano wa Tecno Mobile Tanzania jijini Dar es Salaam leo Desemba 16, 2016. Kushoto ni Afisa Mauzo Mwandamizi wa Tecno Mobile  Tanzania, William Motta na kulia ni Mkuu wa Bidhaa wa Vodacom Tanzania, Samson Mwongela.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania na Tecno Mobile  Tanzania ,wakionyesha simu aina ya Tecno Phantom 6 na Tecno Phantom 6+ zilizopo kwenye maboksi, wakati wa hafla ya uzinduzi wa simu hizo  jijini Dar es Salaam leo Desemba 16,2016.

0 comments:

Post a Comment