Sunday, January 15, 2017


SEHEMU YA TATU
Ile hali ya Clara kuzungumza na Tembo ilimsababisha ajikute akizifikiria simulizi baadhi za Tembo ambazo amewahi kuzisoma. Nyingi zikiwa za mapenzi motomoto. Ile baridi ikaamsha mshawasha katika mwili wa Clara, kifua chake kipana kikaanza kuwasha alijaribu kuzikuna nyonyo zake lakini haikusaidia kitu alikuwa anazifanya zizidi kuwasha. Mwili ukawa unamsisimka bila kujua sababu haikuwa kawaida yake kabisa kukumbwa na hali kama hii. Baridi likazidi kujikusanya na kuutesa mwili wake. Alikuwa peke yake kitandani.

Mara simu ikaita hakutaka kuipuuzia alipokea. Alikuwa ni Hassan Tembo tayari akiwa maeneo jirani na chumba cha Clara.
“Nakuja bab….aaa!! Hassan” alijiumauma Clara huku ule muwasho ukizidi.
Muwasho ulihitaji mkunaji!!!
Haya yalikuwa maajabu ambayo hakuwahi kuyapata hapo zamani. Kuzungumza na mtu kwenye simu kisha anakuwa katika hali ile???
Ilistaajabisha!!

****
KITU cha kwanza baada ya Tembo kuingia katika chumba cha Clara. Binti alilalamika kuwa ana kiu ya kumsikiliza Tembo akimsimulia mojawapo ya hadithi zake za mapenzi. Tembo akatabasamu kisha akamtazama Clara usoni, akamkazia macho kwa sekunde kadhaa, macho ya Clara yalikuwa yamejirembua tayari, lakini ile kutazamwa na Tembo yalikaribia kufumba kabisa, Clara akajikuta anachukua kidole chake kimoja na kukitumbukiza mdomoni akaanza kukimung’unya kama pipi.
Tembo akajikoholesha, macho ya Clara yakafumbuka. Tembo alitaka kumkabili binti yule pale kitandani lakini alikuwa ana hofu moyoni mwake.
“Nisogee ama utanisikia nikiwa nasimulia nikiwa huku!!” Tembo akauingiza mtego.
Clara naye akatumia nafasi ile kujifaidisha.
“Hassan!! Usiku huu bwana…sogea unisimulie nifaidike mwenyewe!! Peke yangu yaani…” alijibu kwa sauti nyororo. Tembo akajikuta anatabasamu tena, akasimama na kuelekea mahali alipokuwa ameketi Clara.
Kitandani kwake!!
Tembo akachukua simu yake akafungua sehemu ya picha, akaitafuta ile picha ya Clara kutoka facebook akiwa amemkumbatia mpoenzi wake na kisha kujisifu kuwa anampenda sana. Tembo akaamua kumchokonoa.
“Mumeo akinikuta humu si itakuwa msala?”
“Tembo ulihudhuria ndoa yangu ama…. Please!! Mi nd’o mwenye hiki chumba na nimekukaribisha….” Alijibu Clara huku akionyesha kukereka na wasiwasi wa Tembo. Lakini wakati huo huo aliushangaa moyo wake!!
Deniss alikuwa kila kitu katika maisha yake, alikuwa rafiki, mpenzi na mume mtarajiwa!! Hakuwahi kutarajia kuwa ipo siku atakutanisha macho yake na kisha kuanguka katika hisia na mwanaume mwingine, lakini sasa amenasa kwa Tembo. Hawana hata saa zima tangu waonane lakini mwili wa Clara umechemka, unawasha na unahitaji huduma.
Kazi kwelikweli!!
Hassan akiwa pembeni ya Clara alianza kusimulia simulizi yake moja ambayo aliiba kutoka lugha ya kiingereza na kuileta katika Kiswahili. Hata kabla hajafika mbali Clara akaingilia kati.
“Mhh!! We Hassani wewe mjanja kuna mahali unasoma, ndio kuna mahali unasoma nd’o unanisimulia….” Clara alilalamika ilhali kiuhalisia kabisa Tembo hakuwa akisoma mahali popote.
“Aaah!! Wala sisomi Clara..”
“Kama kweli hausomi ngoja nikubambe sasa…” clara akasimama na kupiga hatua kuiendea swichi ya kuzima na kuwa sha taa, wakati anatembea, upesi Tembo akamtazama na kubaini kuwa Clara alikuwa ameumbika haswa!! Na mbaya zaidi alikuwa amevaa kanga moja tu!!
Wanawake!!!!
Clara akaizima taa, kwamba Tembo asimulie wakati wakiwa gizani.
Ile simulizi ikabadilika baada ya Clara kurejea pale kitandani…. Ilikuwa ni simulizi ya binti wa kitajiri alivyoangukia katika penzi la mtoto wa kimaskini. Vikwazo vingi vikataka kuliua penzi lao lakini uimara wao ukalisimamisha tena…..
Kadri Tembo alivyosimulia Clara naye akazidi kuwashwa….
Unawashwa halafu hausemi!! Clara usiwe mjinga, usiwe mjinga!! Sauti ya ndani ikamwambia Clara…
Kweli akajiona mjinga sana, akamwangukia Tembo huku akiitoa kanga yake mwilini. Kanga ikaanguka, akavua na blauzi yake.
Na hapo likamtoka neno moja 
“TEMBO NIKUNE!!”
Clara alikuwa katika hisia ambazo hajawahi kuzipata maishani akiwa na mwanaume yeyote yule
Hisia kali za kimapenzi!!!
Bila kujijua labda ama kwa kuzidiwa na hisia Clara alijikuta akiuvaa uhusika wa yule binti wa kwenye simulizi aliyeitwa Sarah akamkumbatia Hassan kwa nguvu sana, Hassan naye akajikuta amevaa uhusika wa yule mtoto wa kimaskini wa kwenye simulizi aliyekuwa na jina la George. Clara akajikuta anatokwa na machozi, machozi hayo yakatambaa katika mabega ya Hassan, mara bila kunong'onezana wakajikuta wanatazamana, kila jicho lilikuwa kama aidha linaanza kuupata uhai ama linaupoteza uhai wake, Clara na Tembo walikuwa katika hali ya mahaba. Maajabu kweli!!! Mahaba ya siku moja tena dakika kadhaa!! Ilikuwa inashangaza.
Tembo akawa wa kwanza kuusogeza mdomo wake katika shavu la Clara lakini ghafla Clara kama vile kuna ugomvi alikwepesha shavu na kuziruhusu papi za mdomo wake zichukue hadhi hiyo. Papi zilipokutana na ndimi zikachomoza zikaanza kugombana kwa sekunde kadhaa kabla ya kuachana bila kuachanishwa. Ni wakati huo ambao ndimi zilikuwa katika ugomvi wa kusisimua ndio Tembo alipata nafasi ya kuzitomasa chuchu nzuri kubwa zilizojaa vyema kifuani mwa za Clara. 
Mpapaso huo wa Hassan Tembo ukazua kizaa zaa sasa walikuwa wameachiana lakini Clara alikuwa katika muwasho wa aina yake na sasa alihitaji kukunwa, na kweli alihitaji kukunwa sio kwa kutumia gunzi ama kucha zake yeye mwenyewe maana kweli alitegemea kucha zake zitakidhi haja lakini zilikuwa zimeshindwa. Clara akamtumbulia Tembo jicho la haja, haja ya mapenzi. Tembo akalitambua hilo.
Mwanga ungeweza kuwa shuhuda pekee wa tukio hili la aina yake, lakini tayari Clara alishaufukuza mwanga chumbani. Basi giza likabaki kutazama yatokeayo, uzuri wa giza ni kwamba likiona mambo halimwambii mtu yeyote!!.
Kitanda kikatwaliwa na watu wawili, chaga zikahimili uzito na sasa ulikuwa unasubiriwa ujasiri wa hizi hizi chaga kuwazuia wawili hawa wasiangukie uvunguni iwapo wataanza kutingishika!!!
Kweli wakaanza kutingishika kwa fujo!!
Zilifanikiwa kuhimili na zilistahili pongezi.
Asubuhi sana Tembo alikuwa yupo macho siku hii ilikuwa ni jumatatu hiyo ikimaanisha kuwa jumapili Clara na Tembo walikesha. Clara alipoamka Tembo alikuwa ameoga na kuvaa tayari kwa kuondoka. Clara alimwonea Tembo aibu lakini Tembo alijidai hajalishtukia hilo akazuga kuchangamka, hatimaye Clara naye akawa na furaha akaungana na Tembo kufurahia madhambi waliyofanya usiku uliopita
Laiti kama Clara angejua madhara ambayo yangetokea baada ya tukio hili, hakika asingemkaribisha Tembo chumbani kwake na kulala naye kama wapenzi wa siku nyingi!!! 
Hilo lilikuwa kosa kubwa lililoyabadili maisha yake!!
****
Wiki nzima ilikuwa inakamilishwa na siku hii ya jumapili, siku hii ilikuwa ya saba tangu Clara alale na Tembo bila Deniss ambaye ni mpenzi wake kushtukia mchezo huu. Chaga za kitanda zingekuwa na uwezo wa kusema zingekuwa za kwanza kumshtaki Clara kwa Deniss kwani zilikesha zikipiga mayowe siku hiyo ya tukio.
Siku hii ilianza kama jumapili nyingine, tofauti ilikuwa moja. Clara hakuwa na ari ya kwenda kanisani siku hiyo, basi hakutaka kujilazimisha akaghairisha kwenda, kingine ni kwamba alichelewa kuamka tofauti na kawaida, hilo halikumpa shida kwa kuwa hakuwa na mambo mengi ya kufanya hapo chumbani kwake. Saa nne kasorobo ilimkutia Clara akiwa bado kitandani alihisi njaa kwa mbali hilo pia halikumsumbua.
Mkojo ndo kitu ambacho baada ya kujizuia sana sasa alikuwa amesalimu amri alikuwa ameamua kwenda msalani.
Aliporejea ndo mkanda huu hapa ukaanza, ni kama simulizi na ilikuwa hivi. ….Clara alijirudisha tena kitandani kumalizia makombo ya usingizi wake, safari hii hakupata nafasi ya kusinzia akaanza kupata muwasho kwa mbali sana, muwasho huu katika ncha za matiti yake ulikuwa mtamu na wa kipekee, alikuna kwa pozi huku akiviringisha viringisha katika viganja vyake ncha za chuchu zake, hali kama ile ikatambaa hadi katikati ya miguu na penyewe alisogeza kidole kimoja mara viwili hatimaye vitatu mwasho ulikuwa umeongezeka. 
Alizidi kujikuna kwa juhudi zote lakini ikashindikana, Clara alitaka kuusingizia ugonjwa wa U.T.I lakini alighailisha baada ya kugundua kitu flani cha tofauti, mara taratibu zikamvaa hisia za kufanya mapenzi, alijikuta katika hisia zilizomfanya Tembo ajilie vitu bila gharama yoyote. Clara alipalangana kuzishinda lakini ilishindikana. Deniss mpenzi wake alikuwa anasoma huko Dodoma, Tembo aliyekata kiu yake siku saba zilizopita tayari alikuwa Dar es Salaam, machozi ya uhitaji yakaanza kumtoka Clara, alikuwa anahitaji huduma kwa udi na uvumba!!!!
Muwasho ule haukujali kilio chake, ukazidi kumhangaisha!!
Clara akaanza kutetemeka mwili wake hasahasa sehemu za mapaja.
“Nini hiki jamani….nini hiki…” alilalamika akiwa anajiviringisha huku na kule pale kitandani.
Clara alikuwa anazidi kujifaragua huku na huko akihangaika mithili ya kuku anayetaka kutaga na mahali pake pa kutagia kuna kitu mithili ya kunguru. Hakujua atafanya nini. Alitamani kupiga kelele lakini kelele hizo zingesaidia nini?? Akagundua hazina maana akatulia akijaribu kujikaza. Lakini hakufanikiwa. Aliyaunganisha meno yake akayaumanisha kujaribu kupambana na hali ile lakini bado hali ilikuwa tete. Akarusha rusha miguu, akaikanyaga kanyaga shuka lakini wapi ilikuwa kazi bure!!!
Clara akajilazimisha kusimama akafanikiwa, akahisi kutetemeka, mikono yake ikawa inatetemeka, Hakuwa katika hali ya kuanguka lakini alikuwa kama mtoto mdogo anayejifunza kutembea akiwa katika hatua za awali kabisa. Hakujua anaelekea wapi lakini ni kama alikuwa anaufuata mlango, alipoufikia akakishusha kitasa ukafunguka, hakukumbuka kuufunga wakati anapiga hatua moja baada ya nyingine kutoka nje. Alipofika nje alitazama huku na huko akavutiwa na mlango uliokuwa nusu wazi nusu umefungwa, akili yake ikamwagiza kwa amri kali kuufuata mlango ule, akajikongoja sasa alikuwa kama bibi kizee kwa jinsi alivyoukunja uso wake, alipoufikia mlango alijifikiria kwa nusu dakika, alitaka kubisha hodi lakini akahisi anachelewa. Akausukuma na kuzama ndani.
KILICHOTOKEA HUKO!!!!...........

Usikose tena kesho asubuhi mwendelezo wa simulizi hii…..

0 comments:

Post a Comment