Timu hiyo ni Uganda. Staa huyo ameziweka wazi sababu 2 zilizomfanya kuishabikia timu hiyo.
“Nitaishabikia Uganda, kwanza ni mashemeji zangu halafu ndio timu pekee iliyotoka East Africa,” alisema Diamond kwenye mahojiano na Sports Extra ya Clouds FM.
0 comments:
Post a Comment