Monday, January 9, 2017



P zone mc msanii kutoka micharazo ya mr blue 
amefunguka kwenye FNL ya EATV na kudai Man 
water alitaka Diamond ndio ashirikishwe kwenye 
ngoma ya Mr blue #mbogasaba

. "Man water alitaka diamond aingize vocal kwenye wimbo
wa mr blue lakini haikuwa hivyo, Mr blue alitaka kiba 
afanye kitu zaidi na tulipompigia simu kiba alifanya
heshima kubwa zaidi mimi mwenyewe sikutegemea"

Hata hivyo @pzone_mc aliongeza kwa kusema @man_water
alitaka kifanyike kitu zaidi ya pale alipofanya @officialalikiba 
na ndio maana katafutwa mwanadada aingize tena sauti
kwenye kolabo hiyo

0 comments:

Post a Comment