Angoza kikao cha wafanyabiashara na wenye viwanda mkoani Mbeya Mkoa wa Mbeya ni Mkoa wa Tatu kwa kuchagia pato la Taifa baada ya Dsm na Mwanza ujenzi wa meli Tatu, kukamilika kwa uwanja wa Ndege wa Songwe kutachochea
ukuaji wa uchumi na utalii Aagiza wakuu wa wilaya kuwa na vikao na wafanyabiashara ili kujua changamoto zao na kuzitatua Awataka wakurugenzi kutenga maeneo kwa ajili YA wajasiriamali na viwanda AITAKA Mamlaka YA mapato
kutoa Elimu kwa walipa kodi ili walipa kodi waelewe mambo mbalimbali na kufanya hivyo kutarahisisha ulipaji kodi


0 comments:
Post a Comment