Mexico: Hatutalipia ukuta wa Donald Trump Trump: Mexico watalipia ukuta '100%'
Trump pia alisisitiza kuwa kuwa gharama ya ujenzi wa ukuta huo italipwa na Mexico ambayo tayari imepinga vikali.Wabunge wa Senate wanasema kuwa bungea la Marekani litaendelea na mpango huo ambao ukadiriwa kuwa utagharimu dola bilioni 12.
0 comments:
Post a Comment