Posted by Williammalecela.com on Tuesday, January 31, 2017
Mama Anne Kilango Malecela, Mbunge wa kuteuliwa na Rais Magufuli leo alipoapishwa rasmi kushika wadhifa huo kwa mara nyingine tena, baada ya kuteuliwa pia na Rais wa Awamu ya Tatu Mh. Mkapa miaka ya nyuma.
0 comments:
Post a Comment