Saturday, January 14, 2017

Muziki wa Afrika kila siku unazidi kuvuka mipaka na kufanya vizuri zaidi siku hadi siku, Tekno Mile moja kwa moja mpaka Record label kubwa ya Colombia Records.

Baada ya kuingia mkataba na kampuni ya Sony MusicTekno anayetamba na kibao chake cha RARA  amekuwa ndiyo msanii pekee Afrika kuanza kupiga kazi na label ya Columbia Records ambayo inamilikiwa na Sony Music.
Kupitia kurasa yake Instagram, Tekno amekuwa akiposti picha za matukio mbalimbali ndani ya Label hiyo huku akiwataka mashabiki zake kuchagua jina la mwanamke ambaye wanataka afanye nae kazi kutoka kwenye label hiyo ya Columbia Records.

0 comments:

Post a Comment