Friday, January 20, 2017

Vanessa Mdee kwa sasa si muimbaji tu, ameingia kwenye maisha mapya ya uigizaji kwa kishindo.
Mwaka jana alichaguliwa kujiunga kwenye cast ya tamthilia ya MTV Suger.
Staa huyo ameiambia Bongo5 kuwa tayari wameanza kushoot na huenda Afrika Kusini kila baada ya wiki mbili. Amesema katika maandalizi yake, kila muigizaji hupewa script nzima miezi kabla ya kushoot na baadaye hukutana na kuanza kufanya mazoezi na waigizaji wenzake.

0 comments:

Post a Comment