Staa huyo ameiambia Bongo5 kuwa tayari wameanza kushoot na huenda Afrika Kusini kila baada ya wiki mbili. Amesema katika maandalizi yake, kila muigizaji hupewa script nzima miezi kabla ya kushoot na baadaye hukutana na kuanza kufanya mazoezi na waigizaji wenzake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment