Posted by Williammalecela.com on Thursday, January 05, 2017
Chupa jipya kwa star wa muziki kutoka nchini Tanzania David Ganzi maarufu kama Young D. Leo Januari 5 amedropisha ngoma mpya inaitwa ‘Young Dady‘. Chupa la ngoma hiyo limeongozwa na Khalfani Khalmandro.
0 comments:
Post a Comment