Sunday, February 12, 2017

160513080207_susannah_mushatt_jones_640x360_reuters_nocredit
Mwanamke aliyetambuliwa kuwa mkongwe zaidi duniani amefariki dunia alipo kuwa akitibiwa jijini New York, Marekani, madaktari wamesema.
160513080207_susannah_mushatt_jones_640x360_reuters_nocredit

Bi Jones alizaliwa mwaka 1899

160513080207_susannah_mushatt_jones_640x360_reuters_nocredit
Susannah Mushatt Jones, amefariki akiwa na umri wa miaka 116.
Alizaliwa eneo la mashambani jimbo la Alabama mwaka 1899, na amekuwa akiugua kwa siku kadha.
Mwanamke Mwitaliano, Emma Morano, ambaye ni mdogo wa umri wa Bi Jones kwa miezi kadha, sasa ndiye anayetambuliwa kuwa mwanamke mkongwe zaidi duniani.
150707082109_mushatt_624x351_ap
150707082109_mushatt_624x351_ap

Morano sasa ndiye mwanamke mzee zaidi duniani

Anaaminika kuwa mtu pekee duniani aliyezaliwa karne ya 19 ambaye bado yuko hai.
Source: BBC

0 comments:

Post a Comment