Friday, February 10, 2017

Image result for kashilila images
"Maazimio ya bunge kutaka Makonda na Mneyti kuja bungeni kuhojiwa na kamati ya bunge ya hadhi, madaraka na Maadili ya Bunge, na hata kumtaka Rais John P. Magufuli atengue uteuzi wao hayakufuata utaratibu wa kibunge kwahiyo hayatafanyiwa kazi"
-Dr Thomas Kashilila
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Katibu wa bunge, Dr.Thomas Kashilila amesema kwamba, Maazimio ya bunge kutaka Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Bw.Paul Makonda na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Bw.Alexander Mnyeti waende bungeni kuhojiwa, na kumtaka Rais atengue teuzi zao, hayakufuata utaratibu wa kibunge kwahiyo hayatafanyiwa kazi.

0 comments:

Post a Comment